Homa ya Ini C: Taarifa na Tiba
๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐ [ ๐๐๐ฃ๐๐ง๐๐ง๐๐ฆ ๐ ] ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐ 8
HOMA YA INI C INATIBIKA:
HEPATITIS C :- Ni homa ya INI inayosababishwa na kirus wa Hepatitis ๐.
Virusi ivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virusi vya ukimwi.
Zifuatazo ni baadhi ya njia za usambaaji wa virusi vya homa ya ini ambazo ni pamoja na:-
โ Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
โ Kufanya mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.
โ Kuchangia vifaa vyenye ncha kali kama sindano hasa kwa watumiaji wa madawa ya kulevya au wachora tattoo, miswaki.
โ Kuongezewa damu ambayo ina maambukizi ya virus vya homa ya INI aina ya Hepatitis.
โ Kunyonyana Ndimi Dendaโ na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini.
โ Kuchangia taulo na mtu mwenye ugonjwa huu.
โ Kubadilishana nguo na mtu mwenye huu ugonjwa au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.
TAFITI
Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko virus vya ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba 7 hadi nane 8.
Virusi vya ukimwi (VVU) havina uwezo wa kuishi nje ya mfumo wa damu hata kwa dakika moja.
Mtu mwenye homa ya ini ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye ukimwi.
Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hufariki dunia haraka sana kama hatopatiwa matibabu mapema basi huishi muda mfupi sana kuliko mwenye VVU.
๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐:
โ Uchovu wa mara kwa mara.
โ Kichefuchefu muda mwengine kutapika.
โ Mwili kuwa dhaifu na Kukosa nguvu (Uchovu wa mara kwa mara ).
โ Homa kali usiku kutokwa na jasho jingi.
โ Kupoteza hamu ya kula.
โ Kupungua uzito na mwili kuwasha.
โ Maumivu makali ya tumbo upande wa Ini yani upande wa kulia.
โ Macho na ngozi kuwa vya njano.
โ Mkojo mweusi/mkojo kuwa na rangi iliyokolea kama coca-cola.
HUWA INAKUWAGA HIVI:
Kuna baadhi ya wagonjwa wa homa ya ini hukaa muda mlefu [Miaka mingi] pasipo kuona dalili yoyote za homa ya ini, kwa kipindi iki ini likiendelea kuharibika hatimae huja kupata ugonjwa mkali wa ini na kusababisha ini kushindwa kabisa kufanya kazi pia huweza kusababisha kifo asipopata matibabu sahihi na mapema.
Hii hatua huitwa โ๐๐๐น๐บ๐ถ๐ป๐ฎ๐ป๐ ๐น๐ถ๐๐ฒ๐ฟ ๐ณ๐ฎ๐ถ๐น๐๐ฟ๐ฒโ.
Dalili huja kuonekana waziwazi miaka mingi baada ya mtu kuambukizwa.
Kwa wenye maambukizi ya virusi aina C matibabu ya Dawa kwa wiki 8 humaliza tatizo [Kupona kabisa] .
๐๐๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐๐ง๐ข๐๐๐ก๐๐ฌ๐ข ๐ก๐ ๐๐ข๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐๐ก๐ ๐๐ฆ๐๐ฃ๐ข ๐ง๐๐๐๐ช๐ ๐ ๐๐ฃ๐๐ ๐:
โ INI kushindwa kabisa kufanya kazi (liver failure).
โ Saratani ya ini (hepatoma).
โ Figo kuferi na kujaa maji
โ Maumivu ya tumbo yasiyo isha
โ Tumbo, Sura na miguu kuvimba.
โ Njaa ya mara kwa mara na kali.
โ Manjano ya macho na ngozi yasiyo isha
โ Mgonjwa Kupoteza maisha
[ANT-HEPATITIS C VIRUS MEDICATION]
Matibabu haya huusishwa moja kwa moja katika kuzuiya kuzaliana kwa maambukizi na kuondoa vimelea yani maambukizi ya virus vya ๐C๐ฉ
Na baadhi ya kazi mbali mbali za kitabibu katika kumaliza tatizo hili ni pamoja na ...
โชKuondoa Seli za ini zilizo kufa na Tishu.
โชKurejesha afya ya chembe hai za seli yani DNA repair.
โช Kupandisha kinga mwili.
[ Boosting the immune system ].
โช Kuzuiya Edema hali inayo sababisha kuvimba kwa miguu na mwili kutokana na uwepo sumu nyingi katika damu na kuvilia kwa maji mengi katika mishipa ya ini. [ To prevent leg swelling due to excess toxins and water retention in the liver's blood vessels ].
โช Kuzuiya upasuaji wa seli za ini kutokana na uwepo wa wingi wa maambukizi [ Preventing the breakdown of liver cells due to the presence of viral infections ].
โชKuvimba kwa tumbo, hali inayo sababishwa na uwepo wa maji mengi katika mirija ya ini [ Assicites ].
โชKuondoa sumu na mabaki ya protini katika damu na mirija ya ini [Liver Detoxificationi].
โชUzalishwaji wa tishu za saratani ya ini [ Production and growth of liver cancer cells].
โชKuzuiya vimbe katika ini (Mechanism of Liver Tumors) pamoja na kovu la ini [LIVER Cirrhosis ].
โชKuondoa miwasho ya ngozi na maumivu ya mifupa na maungio [Skin rushes and Arthritis & Osteoporosis].
โชKuondoa uchovu wa mara kwa mara na kupoteza hamu ya kula [ Chronic Fatigue & Loss of appetite ].
โชKurejesha hisia au hamu ya tendo la ndoa [ Sexual desires ].
โชKurejesha afya ya uchujwaji mkojo na kusafisha kibofu kwakuweka sawa rangi ya mkojo [ Urine Color ].
โชKuondoa Jaunces yani manjano ya ngozi na macho [ Jaunces ].
โชKurejesha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kuwa sawa zaidi na kuimarika kwakuondoa gesi na acid tumboni [ Digestion System].
โชKuondoa Protini ya ziada katika damu pamoja na cholesterol mafuta yaliyo zidi katika mishipa ya damu [ Removing excess protein from the blood." ].
โชKuondoa hali ya kichefuchefu na kutapika [ Nausea & Vomiting ]
Kutibika na kuisha kwa tatizo hili, hutegemea na afya ya mgonjwa kwa wakati huo na hatua ya tatizo lilipo fikia kwa mgonjwa.
LENGO NA UMUHIMU WA MATIBABU HAYA
Kwasababu kwakadiri muda unavyo zidi kwenda pasipo tatizo hili kupatiwa ufumbuzi na suluhisho na ndivyo tatizo linavyo zidi kuwa kubwa na namna ya ini linavyo endelea kuathirika na ndivyo muda wa kutibu tatizo huchukua siku nyingi kuisha.
Lengo kubwa la matibabu ni kuondoa maambukizi
BAHADHI YA MATOKEO YA WAGONJWA
See what our customer says
GHARAMA KAMILI ZA MATIBABU
Dozi inatumika ndani ya miezi miwili:
gharama yake ni Tsh.1265000 ni Sawa na USD. 480
1โฏ265โฏ000 รท 2โฏ634.27 โ 480.21โฏUSD
MAELEZO YA ANWANI
KITUO CHA AFYA KIPO TANZANIA
MAHALI:Kimara Stop over,Morogoro road
KWA WAGONJWA WA NNJE UTARATIBU WA KUPATA MATIBABU NI WA AINA MBILI
Ili Kupata Kuna Njia Mbili Ambazo Unaweza Zitumia Ili Kupata Dozi Yako:
1.Kama unamtu wako wa karibu aliyepo Tanzania anaweza fika kwenye kituo cha afya kukuchukulia na akutumie.
2.Kusafirishiwa kwa njia mbalimbali kwa nchi za karibu huduma za basi inawezekana ; Tahmeed coach na Kilimanjaro Expless
Zuberi Bus ,Shabiby Line
Gharama za Usafirishaji
Huwa ni Tsh 20,000 -Tsh 30,000
MATAIFA YA MBALI
Wagonjwa wa nchi za mbali itatumika njia ya ndege kwa kutumia makampuni kama vile {DHL,FedEx na EMS}
Kwa uzoefu natumaga nnchi tatu sana kwa sasa Oman, Canada na USA
Gharama za Usafirishaji
Huwa ni Tsh 1200000 -Tsh 200000
OMAN
CONGO
CANADA
๐ญ๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐ญ๐ ๐ ๐๐๐ง๐๐ก๐ข ๐ฑ๐ฌ๐ฌ ๐ ๐จ๐๐๐ ๐จ ๐ ๐ช๐๐๐๐ก๐ ๐ญ๐๐ ๐๐ง๐๐ ๐๐จ๐๐๐ช๐ ๐๐จ๐๐๐ก๐ฌ๐๐๐ ๐ก๐ ๐๐ก๐:

Uzalishwaji wa protini
Plasma ya damu, protini hii hutumika katika kutengeneza melanini kwaajili ya kugandisha damu katika Jelahaa.
Uzalishwaji wa cholesterol na protini maalum ambayo husaidia au kutumika katika ubebaji wa mafuta salama mwilini kutoka sehemu moja ya mwili kwenda sehemu nyengine.

Uzalishaji wa bile yani nyongo,
Ambayo husaidia kubeba taka mwili na kuvunja mafuta kwenye utumbo mdogo wakati wa Usagaji wa chakula yani Digestion System.

Ubadilishaji wa amonia yenye sumu kuwa urea
(urea ni bidhaa taka ya mwisho ya kimetaboliki ya protini na hutolewa nje ya mwili kama uchafu kupitia mkojo).

Kudhibiti ugandaji wa damu mwilini
pindi damu inapo kuwa Nyepesi au kupata hajari na kutengeneza jerahaa.
Commencez le traitement ici.
